KARIBU TUKUKUTANISHE NA WANUNUZI UPIGE HELA! Ewe mfanyabiashara, mjasiliamali, msanii, mbunifu, mkulima karibun uoneshe na kuuza bidhaa zako kwenye Tamasha la Majimaji Selebuka kuanzia 13-20 Julai 2019 kwenye Uwanja wa Majimaji, Songea. Mbali na wanunuzi, tamasha litakukutanisha na makampuni mbalimbali. Kwa maelezo/ushiriki tucheki: 0689 086435 au http://www.majimajiselebuka.com MajimajiSelebukaFestival #TamashaLaMajimaji2019
Monthly Archives: May 2019
Msimu wa tano wa Majimaji Selebuka 2019
SIKU ZINAHESABIKA! WIKI SAAAFI YA KUTUPILIA MBALI STRESI. VIJANA WENYE VIPAJI MBALIMBALI SONGEA, KAZI KWENU. #MajimajiSelebuka > Instagram, FaceBook, Twitter na YouTube.